Na huu ni umati wa watu wakiwa makini sana kusikiliza pamoja na kupata burudani ya bure bure kutoka kwa hao jamaa waliokwenda kunadi bidhaa ya kampuni moja ya simu za mkononi
a.k.a deshi deshi.
AMA KWA HAKIKA MAMBO IKO HUKU
Hii nimeipenda sana, kwani ukikifuatilia hicho kibao moja kwa moja utajikuta umefika katika hiyo skuli. Hii ni kali kwanza kipo juu, pili
veri loko.
MTAZAMO WAKO.!!!!!!!!!!
Nakumbuka usafiri huu enzi za mwalimu tulikuwa tunauita chai maharage, hapo kitu kipo moto ile mbaya kinapeleka abiria pande za Wete.
AMA KWELI NI MOO FAYA!!!!!!!!!!!!!!!!