Mwanablogu hebu wewe mwenyewe itazame bongo ilivyokuwa bomba utadhani ni mamtoni mwanangu, ma-ghorofa kila kona kama tupo kule duniani kwa wenzutu.
Mimi nimejaribu kujiuliza kila siku lakini bado sijapata jibu, eti wewe mdau kwa mtazamo wako unadhani ni kwa nini katika miji mingine hapa nchini isipendezeshwe nayo ikang'ara kama inavyong'ara bongo Dar- Es-salaam?
Kiukweli kuna baadhi ya maenoe ukikatiza bongo utadhani ni California au Miami kule Marekeni. I la tofauti itakayikufanya ujue kama upo bongo ni moja tu. THERE'S SO MANY OMBA OMBA'Z. K ama mimi naongopa hebu mchekim huyo mheshimiwa sana hapo juu pichani anavyoiwinda riziki yake bila kutoa jasho, ila ishu JUA LINIMKONG'OLI KINOMI NOMI.