
Kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni, cheki mashoga hao walivyojiremba kama mademu kweli vile.

Duh! kumbe nao pia huwa wanavaa bikini!? Sasa wakishavaa hizo bikini pale mbele sijui inakuwaje.

Mungu wangu!!! hapa sijui walikuwa wanashaurian kitu gani.